Group Feed
-
1. Faida/tijara/kivuno/chumo/ziada (profit) – Pato libakialo baada ya kuondoa gharama za kufanya biashara k.v. ununuzi na usafirishaji. (Income gained after deducting costs of doing business like procurement and transportation)
2. Hasara (loss) – Ukosefu wa faida; Hali ya kupoteza pato au mali katika biashara. (Lack of profit; state of… Read more
-
Mto: River
Ziwa: Lake
Bahari: Sea/ocean
Kinamasi: Marsh/swamp
Chemichemi: Springs
Gema/genge/korongo: Rapids
Maporomoko: Waterfall
Kisiwa: Island
Msitu: Forest
Nyika: Savanna
Jangwa: Desert
Tambarare: Plains/flat land
Bonde: Valley
Mlima: Hill/Mountain
Nguu: Peak of a… Read more
-
Thanks for the words, will add to my vocab.
- View 1 reply
-
Asante Sana Mwalimu
- View 1 reply
-
108,368 Abibisika (Black Gold) Points
Asante sana!
- View 1 reply
-
-
Majina ya baadhi ya vifaa vya ofisini
(Names of various equipment in the office) -
-
Majina ya baadhi ya visu
(Names of various blades)-
108,368 Abibisika (Black Gold) Points
Sawa. Let’s set up a time to talk about the possibility of you teaching Kiswahili through Abibitumi.
- View 3 replies
-
Habari! Now I am prompted to let it out that I see Kiswahili borrows words from English, just like we do in our language, but sometimes if you try hard enough you can come up with a descriptive word or phrase to denote an object in pure African tongue. I wonder if that can’t be done in Swahili. Otherwise other words I find interesting are… Read more
- View 8 replies
-
- Load More