Group Feed
-
Names of planets (sayari) of the solar system. However, the first planet should be “Utaridi”. Zebaki is mercury the metal
-
108,598 Abibisika (Black Gold) Points
Poa kabisa!!!
-
-
Adjoa Malaika Gathoni posted an update in the group
KiSwahili Language Group 5 years ago
Sheng ni ‘lugha ya mtaani’ haswa katika Nairobi. Iko ‘Kiswahili slang’ ? Siielewi lakini inavutia sana. Lazima tunajifunza Kiswahili kwanza alafu tunaweza kujifunza Sheng! Hapo sawa!
https://www.sheng.co.ke/kamusi/-
Sheng ni lugha ambayo inakua na kubadilika kila siku. Unaweza kupata maneno fulani katika mtaa mmoja na mengine tofauti mtaa mwingine. Ni lugha ambayo hata tunaoizungumza lazima tujifunze na kutengeneza maneno mapya kila siku. Ni lugha mzuri kwa mazungumzo fiche (coded communication/cipher) na ubunifu (creativity)
-
Umesema kwamba, “Sheng ina maneno mapya kila siku kutegemea mtaa?” Watu ninawajua hapo wanasema kitu sawa.
-
Ni kweli. Msamiati huongezewa kila siku. Ni muhimu kujifunza Kiswahili kwanza alafu baadaye sheng kwa sababu sheng inafuata mfumo wa kiswahili
-
-
-
-
- Load More